Tuesday, May 16, 2017

Azania ( 2002 ) Society yawa Gumzo ya aina yake Jijini Dar es Salaam !!

AZANIA Society yawa gumzo ya aina yake kwenye sherehe iliyofanyika hivi Karibuni jijini Dar es Salaam wakimsindikiza na kumpongeza  mmoja wa mjumbe wake ndugu Ajally  aliefunga pingu za maisha na Bi. Nasra .

Jumuiya hii ya Azania inahusisha wanafunzi wote waliomaliza shule ya Azania sekondari mwaka 2002 ambao kwa pamoja walijumuika na kuunda taasisi ya Azania ( 2002) society .Taasisi hii kwa sasa inaongozwa na Dr.Nathaniel Sirili ambae ni mhadhiri Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi shirikishi Muhimbili ( MUHAS ). Picha zote kwa hisani ya EK Studios.

erukantabula@gmail.com ;+255 713 276140































Sunday, May 14, 2017

Photoshot for Cate Hotels and Tours LTD: EK Studios. May 2017 .








Friday, May 12, 2017

KUMBUKUMBU ya leo ; Safari ya Stockhom ,Sweden na EK .Mambo 3 usiyoyafahamu kuhusu watu na nchi ya Sweden ;





KUMBUKUMBU ya leo ; Safari ya Stockhom ,Sweden na EK .Mambo 3 usiyoyafahamu kuhusu watu na nchi ya Sweden ;

1. WATU wa Sweden wanapenda sana kunywa kahawa au chai na vitafunio vingine kama keki nk karibu mara mara tatu kwa siku wawapo kazini ,wenyewe wanaiita FIKA kwa jina la umaarufu .

2. WAKARIMU kwa wageni .Kama ni mara ya kwanza kufika jiji la stockholm au maeneo mengine ya Swedene na bahati mbaya ukapotea unapokwenda usisite kuwauliza wenyeji njiani watakuelekeleza vizuri tena kwa kiingereza fasaha .

3.HAWAPENDI Kuchelewa ,ni muhimu kuwahi kama umeweka appointment na hawa watu ,hawapendi kuchelewa kwa shughuli ya aina yoyoye :D

Picha zote kwa hisani ya Erasmus K















Sunday, May 7, 2017

Grace and Wambura wedding by EK Studios ( Erasmus K )